Swahili Sayings Riddles and Superstitions |
by S.S. Farsi Eastern Africa Publications, Arusha |
Riddles
Anataga huku akitambaa. (Mboga) » It lays eggs and creeps at the same time. (Answer: Pumpkin plant)
Kafa huku ananing’inia. (Buibui) » It has died, but is still hanging. (Answer: Spider)
Mti umeangukia huko mbali, bali matawi yake yamefika hadi hapa. (Tanzia ya kifo) » A tree has fallen far away, but the branches have reached here. (Answer: News of a death)
Kamba yangu ndefu, lakini haiwezi kufunga kuni. » My rope is long, but it cannot tie a bundle of firewood.
|
Superstitions
Kuzaliwa na vidole sita ni mabruki. » To be born with six fingers is to have good fortune.
Mwenye kula miguu ya kuku atakuwa daima katika mwendo tu. » He who eats a fowl’s legs will become a wanderer.
Anapoia punda usiku basi anabashiri kuwa pana shetani hapo » When a donkey brays at night it announces the presence of ghosts in the vicinity
Ukimataja mtu na palepale akatokea, inathibitisha kuwa ni mwana wa halali. » If you talk [ill] about someone, and he appears at the same moment, it is a sign that he is not a bastard [or what you are saying isn't true].
Mwendawazi nu anayekula chakula chake siku zote kwa kawaida hatapona tena » A madman who takes his meals regularly will never regain his sanity.
Ukimcheka mtoto mchanga akijamna, basi utajamba mwenyewe mbele ya watu na utatahayari sana. » If you laugh at a baby/child breaking wind you will accidentally do so yourself in the presence of people whom you respect.
|
If you are interested in more Swahili Sayings or would like to buy the book, please email me at  |
|